Jiwe la kiroho
la kujengea na 8
|
Wabrania 11:1,“Basi
imani ni kuwa na hakika ya mambo yatarajiwayo, Ni bayana ya mambo yasionekana”.
Imani ni nini?
Imani ni kitu
fulani ambacho kinafunuliwa kwako,ambacho hakijawa bado,lakini unaamini
kitakuwa, Imani ni ufunuo wa mapenzi ya Mungu. Kwahiyo ni kwa ufunuo wa mapenzi
ya Mungu. Kwahiyo ni kwa ufunuo (Waebrania 11.1)
Makanisa leo hayajaamini
kwamba kuna ufunuo wa Kiroho, wanaamini juu ya mafundishio ya Mungu ya maungano
ya utaratibu fulani. “Kwa ufunuo Habil alimtolea Mungu dhabihu iliyo bora zaidi
kuliko Kaini,ambayo Mungu aliishuhudia kuwa ni haki”. (Waebrania 11:4) Amen.
Natumaini
unaliona hilo, Unaona mahali tunapoishi?
Unaona saa?
Nilikua nazungumza na Mungwana mmoja sio muda mrefu
uliopita Mkristo msomi na muungwana alisema “Ndugu Branham tunakataa mafunuo
yote” nikasema “Inabidi umkatae Yesu Kristo kwasababu yeye ni ufunuo wa Mungu,
Mungu amefunuliwa katika mwili wa kibinadamu.
(1Timotheo3:16.),(Yohana 1:1-2,14)
Mpaka utakapoliona hilo vinginevyo umepotea Yesu alisema “Msipoamini kwamba
mimi ndiye, mtakufa katika dhambi zenu”
Yeye alikua ufunuo wa Mungu,yule Roho wa Mungu
akijifungua katika umbo la kibinadamu, kama huezi ukaamini umepotea,ukimfanya
yeye kuwa nafsi ya tatu,nafsi ya pili,au nafsi nyingine tofauti na Mungu umepotea,
“Usipoamini kwamba mimi Ndiye, Mtakufa katika dhambi zenu”. Ufunuo [1]
Na ufunuo ni
kitu cha pekee, Ufunuo wa Neno, Ule ufunuo wa Neno. Ufunuo ni nini?
1
Yesu alisema
“juu ya mwamba huu mtalijenga kanisha langu na milango ya kuzimu haiwezi
kulishinda (Matayo 16:13-20), Imani ni ufunuo, Kwasababu imani imefunuliwa
kwako, Habil kwa imani alitoa Dhabihu kwa ufunuo (imani) kamtolea Mungu dhabihu
ilio bora kuliko Kaini, Kaini alifikili kwamba wamekula matofaa, bado wanawazo
hilo mpka leo ilikua ni uzinzi, uzao wa nyoka na pale mihuri saba
ilipofunguliwa ililitangaza hilo na kulithibitisha, Angalia hilo ni lakimaandiko
kutoka mwanzo mpka ufunuo [2].
Lakini Habil
hakuja na muundo, lakini Kwa imani biblia ilisema alimtolea Mungu sadaka ilio
bora zaidi kuliko Kaini na Mungu akashuhudia kuwa ni haki, Kwasababu aliona
mpango wa Mungu ambao ulifunuliwa kwake……
Biblia wakati
huo ilikuwa haijaandikwa, kwahiyo kama Kaini ambaye ni ndugu yake walikaa chini
ya mafundisho ya baba na mama akaleta matunda kutoa sadaka.
Lakini Habil kwa
ufunuo aliona kwamba haikua ni matunda yaliyo watoa Bustani ya Edeni kama watu
wengine hufikiri hivyo hata leo. Haikua ni matunda ilikua ni damu ya mama yake
aliyemfamya kuwa anayepatikana na mauti, au Baba yake, kwahiyo alikuja kutoa
Dhabihu ya Damu ya mwanakondoo kwa ufunuo wa Kiungu (Mwanzo 4:1-7), Hakuna mtu
yoyote aliyemwambia kitu chochote juu ya hilo, lakini yeye kwa ufunuo alimuona
mwana wa Mungu akija, akitoa mwana wa Kondoo kwa mfano wa Kimbele, Akimuona
Yesu kuwa ni mwana Kondoo aliyechinjwa kabla ya kuwekwa misingi ya Ulimwengu (Ufunuo 13:8) , na Mungu alishuhudia
“Hiyo ni kweli” Mungu siku zote alishuhudia ukweli, sasa Kaini alipoona ndugu
yake Dhabihu yake imekubaliwa alimuua
ndugu yake kwasababu ya wivu [3]
2
Ondoka mbali na
thiolojia zako na hisi zako mwenywe, muache tu Roho Mtakatifu….Ulipewa hisi
tano, lakini hizo hisi tano ambazo ni za akili zako, kamwe hukupewa ili
zikuongoze (Warumi 8:14, 1Wakorintho 2:13),Ila hisi ya sita ambayo ni
imani,ulipewa hiyo ikuongoze wewe. Hivyo ni hisi ya sita na hiyo ni hisi kuu,
Hiyo inakuongoza wewe [4].
Sasa angalia
imani ni nini? Imani ni hisi ya sita. Hisi tano zina mtawala huyu mtu, Mungu
alimpa mtu hisi tano Ili aweze kuwa na mawasiliano nyumbani kwake duniani, Huwezi
kuwasiliana na Mungu kwa hisi zako tano, Unamjua Mungu kwa imani ambayo ni hisi
ya sita. Kuna hisi mbili katika nafsi ,imani na kutokuamini na kama wewe
umeshikiliwa na imani, Imani kwako ni kitu halisi kabisa kama vile kuona
kulivyo halisi kama unaamini hilo shati ni jeupe, Kama una macho na unaimani
kwa kuona kwako na unasema lile shati ni jeupe…Kama unaamini kwamba Yesu Kristo
alikuponya pale Kalvari, na Imani yako inatangaza hilo kwa kadri ya kuona kwako inavyo tangaza
hili,Wewe unakuwa uliyeponywa, hapo hilo limekwisha. Unaona! Imani ni hakika ya
mambo ya tarajiwayo bayana ya mambo
yasiyoonekana, Onja, Jisikie, kunusa au kusikia.Unaliamini hilo. Sema “Vema
sisikii chochote cha tofauti” hupaswi kusikia chochote cha tofauti unapaswe
kuamini [5].
Sio msisimko tu
, Sio kitu cha kuwazia ni kitu halisi, kitu cha kweli kuona kutashindwa, kila
kitu kingine kitashindwa. Lakini Imani haiwezi kushindwa, kwa sababu inaenda
kwenye viwango vikuu zaidi ya mambo ya asili na haiwezi kushindwa.[6]
Sasa Imani “Ni
ufunuo kutoka kwa Mungu”sasa imani ni ufunuo. Hapo ndipo ninapotaka kubaki hapo
kwa muda mfupi,Ni ufunuo umelifanya hilo kwako kwa neema yake .
3
Sio chochote
ulichofanya, Siyo chochote ulicho tendea kazi wewe mwenyewe kuja kwenye
imani.kamwe wewe ulikuwa huna imani, umepewa hiyo Kwa neema ya Mungu (Waefeso
2:8-9)
Mungu amelifunua
hilo kwako,kwa hiyo imani ni ufunuo,Na kanisa lote la Mungu linajengwa kwenye
ufunuo, katika kusanyiko la watu ambapo wanakuja kwenye mstari wa maombi,utaona
wengine …. Na wote ni watu wazuri, na tuseme.Kuna wengine wanajitahidi sana
kuamini hilo, Wakijalibu kujisukuma wenyewe katika hlo wengine hawawezi hivyo
kabisa.
Wengine, ni kwa
neema tu wanapewa hilo .Sasa hapo ndipo unaona tofauti,Unaona!
Hilo ndilo
linalofanya Hilo, Huo ndio ufunuo kwa Mungu lazima ufunuliwe kwanza [7]
Lakini kwa
kanisa yule Bibi harusi unyakua ni ufunuo kwake, unafunuliwa kwake, yule Bibi
harusi wa kweli wakristo atakua akingoja ufunuo wa kunyakuliwa,sasa,Huo hi
ufunuo kwa maana ufunuo ni imani, huwezi ukawa na ufunuo bila kuwa na imani,Huu
ni ufunuo,kwasababu ni kitu fulani kinafunuliwa
kwako.Imani ni ufunuo.Imani kitu fulani ambacho kimefunuliwa kwako
ilivyokuwa kwa Abrahamu ambaye aliita kitu kingine chochote kinyume na kile
kilichofunuliwa kwake kwamba hakiko (Warumi 4:16-22),sasa imani,hiyo
ndiyo imani ilivyo. Ufunuo wa Mungu, Kanisa linajengwa juu ya ufunuo ule mwili
wote. [8]
Hapa kuna swali
alilopewa nabii wa Mungu nataka kupokea roho mtakatifu, nataka kujua
kinipasacho kufanya,nina mzigo wa kutaka familia yangu iokolewe? kama unataka
kupokea Roho Mtakatifu, ngoja nikwambie kitu fulani:-Biblia inasema
“wamebarikiwa wale walio na njaa na kiu ya haki”
(Matayo 5:6).
4
Wewe umebarikiwa
sana kwakuwa na shauku kutaka hilo, unaona? Sasa kumbuka,sio kwamba umelipata
hilo,lakini wamebarikiwa wenye njaa na kiu ya haki ya kutaka hilo, “kwamaana
watajazwa” wewe kaa pamoja na hilo “ nifanye nini kwa ajilii ya familia yangu?”
tumia imani hiyohiyo unayoitumia kwaajili yako mwenywe, kwaajili ya familia
wakabidhi kwa bwana na uamini kwa moyo wako wote kwamba watu wataenda kuokolewa
usiache hio ije katika akili zako za kawaida, iache iangukie kule ndani kwenye
kilindi cha moyo, hapo sasa watakuwa ni wako, Mungu atakuwa amekupa wewe wawe
wako inapoangukia chini kule,chochote ulichonacho katika moyo wako hapa na
ukamueleza hilo, wakati unaomba amini kwamba unakipokea kile ulichoomba, (Mathayo
7:7-11) sasa hupaswi kulitilia shaka tena huwezi ukaliamini na ulitilie
shaka wakati huo huo, inabidi uamini kile ulichoomba kwamba unakipokea hicho,
hapo Yeye alisema hicho utapewa kwahiyo wewe amini kwaajili ya familia yako,
nao watalipata hilo [9].
Kama unayo imani
kwa ajili ya uokovu wako mwenywe, Je huwezi kuwa na imani ambayo itatenda kazi
kwa watu wako? Imani ni nini? Ni nguvu isiyoonekana unaona? Ni roho
(Wakorintho 2:4-13) Roho Mtakatifu analeta
imani,unaona? Ni nguvu isiyoonekana
[10].
Hiyo ndiyo nguvu iliyo ndani ya kanisa sasa. (
Wakorintho 2:4-7, Waefeso 1:11-23),Lakini inataliwa na sheria na hiyo sheria
siyo sheria ya kushika amri, ni sheria ya imani, Yesu alisema “ Mambo yote
yanawezekana kwake aaminiye” (Maiko 11:23-24). Kama unaweza kuliamini hilo,
chochote Mungu atakachoongoza nafsi yako kuamini hicho ni chako.
5
Kila mahali unyayo wa mguu wenu utakapo
kanyaga kwa imani Mungu anakupa utakapo kanyaga kwa
imani, Mungu
anakupa hilo (Joshua 1:3) Amina, Hiyo ni yako unamiliki hiyo kama unaweza
kupata ufunguo kwa hii sheria ya
imani ambayo
inafungua hili kwako, unaona ninachomanisha? Hivyo nguvu inataliwa na …. Kama
wewe ni mwana wa Mungu, ni binti wa Mungu, hilo halikuachi. Liko na wewe pamoja
wakati wote, lakini imani yako inaenda mbali na hilo, Lakini bado lipo pale
Haleluya? [11]
Na sasa Yesu ni
mlango wa Mambo haya yote (Wakorintho 1:1:4-9), na imani ni
ufunguo ambao unafungua mlango, sasa. Kama Yesu ni mlango kwa ahadi zote za
Mungu, Imani katika kazi yake iliyokamilika inafungua kila mlango wa kila
hazina iliyo ndani ya ufalme wa Mungu, unaona hilo? Imani ni ufunguo ambao
unafungua kila ahadi aliyoahidi, Ufunguo wa Imani unafanya hilo katika kazi
yake iliyokamilika. Ni hizi funguo ndizo tunazo zizungumzia [12].
Kila mmoja
inabidi awe na kitu fulani ambacho una uhakika nacho, na hapo ndipo unaweza
kuweka imani yako, ni pale unapokuwa na uhakika kama kuna swali liache hilo
mpaka uwe na uhakika [13].
Fikiria tunayo
nanga (Amina) tunayo Nanga ambayo ipo katika pazia. Hatuwezi kuiona hiyo wakati
mwingine, Lakini unajua iko pale. Kama vile ambavyo kijana mvulana aliyekuwa
anarusha tiara wanasema “Iko wapi?” akasema “siwezi kuiona hiyo” akasema “Najua
bado ipo pale,kwasababu naweza kuisikia” kwahiyo ni kweli, tunaweza tusiwe na
uwezo wa kuiona hiyo nyakati zinakuwa giza. Mawingu yanaweza kuficha uso wake
uliobarikiwa kwa muda, Lakini kumbuka mawingu yanaweza yakaficha uso wake
lakini hayawezi kumficha yeye yanaweza yakalificha
6
usilione lakini
bado linawaka nyuma ya mawingu. Na imani inaliona jua kupita mawingu. Uzoefu
mkubwa sana katika maisha yangu ni pale ninapokutana na mlima uliyo kinyume na mimi ambao siwezi ni kuuvuka
juu yake, chini yake , Au kuuzunguka,
Ninasimama nikitulia, Na Mungu alitusogezea
kitu hicho nyuma. Haijalishi kuna giza la mawingu kiasi gani, Imani inapenya ng’ambo na jicho ambalo linaangalia
nyuma ya kitu ambacho SHETANI amekiweka mbele yako, Kwasababu Mungu ni ushindi
wetu Ameni, hata kifo chenyewe hakikutii hofu sio ajabu, Mwaminio anaweza
akasimama na kusema : ooh Kifo uko wapi uchungu wako na kaburi, uko wapi
ushindi wako lakini shukrani kwa Mungu anayetupa ushindi kupitia bwana wetu
Yesu Kristo”
( 1 wakorintho 15:51-58) Hiyo
ndiyo imani inayotufanya tusione aibu, Hiyo ndiyo imani inayoshinda [3].
Imani ni nini?
Watu wengi wanaweka tumaini badala ya imani lakini hayo ni mambo tofauti sana
kama vile mchana na usiku kwasababu Biblia katika (Waebrania 11:1) imesema “
Imani ni hakika ya mambo tarajiwayo bayana ya mambo yasioonekana” sio tu
tumaini hakuwazia, ni kitu cha uhakika oh natumaini mnaliona hilo, na hapo sasa
utaona mambo ya kitendeka unaona? Watu wengi wanaweza wakawa na tumaini katika
mawazo ya akili zao nasikitika kusema hili,hiyo ndiyo sehemu kubwa ya wakristo
wengi wanaojiita hivyo ni mawazo ya kufikiria wana wazo fulani lakini hawana
uzoefu kamwe wa kile Yesu alichosema “ Mtu asipozaliwa mara ya pili hawezi
kuuona ufalme” au lile neno lililotafsriwa kwa usahihi ni kuelewa ufalme wa
Mungu ( Yohanna 3:3). Unaangalia kitu chochote unasema “hicho
sikioni” humaanishi kwamba hukioni na macho yako, hukioni na moyo wako,
hukielewi.
Sasa kuna vitu
viwili ambavyo vinamfanya mwanadamu, kimoja ni akili yako na kingine ni nafsi
yako na akili ni mawazo ya ubongo wako, uelewa wako, na nafsi yako ni sehemu ya
Mungu ambayo
7
ipo ndani yako, unapozaliwa duniani kama
mtoto, unakuwa nafsi iliyo hai (ishiyo)na unafikia umri wa kuchagua,unasikia
injili kwa njia ya masikio, kuna kitu fulani ndani yako kinakuwaambia mpokee
Kristo utasema “ Vyema mimi bado ni mdogo na tusubiri muda kidogo” sasa hapo
ndipo unafanya kosa lako la kwanza hapo, kwasababu unamhuzunisha huyu mtu wa
ndani. Mungu hataenda kukuhukumu wewe kwa huyu mtu hapa wa akili zako. Ataenda
kukuhukumu wewe kwa nafsi yako. Watu
wengi wana imani kwa akili zao, wengine wana imani kwa nafsi zao sasa, zile
akili hapa zitahojiana na neno la Mungu “Zitaona siyo za kibusara” lakini nafsi
haina hoja yeyote inasema “hilo ni kweli”. Na hiyo inamaliza yote. Unaona, nafsi ina amini hilo. Akili zitasema “Nashangaa linaweza likawa
siku zilizopita. Hilo linaweza likawa
kwa ajili ya wanafunzi au likawa kwa ajili ya kitu fulani. Siyo kwa ajili yetu sasa kwa sababu tunaishi
katika siku tofauti” lakini nafsi inasema “Kristo ni Yule jana, leo na hata
milele”. (Waebrania 13:8), hakuna hoja,
haina hoja hata kidogo. Inaamini. Sasa, sehemu kubwa ya sisi, marafiki,
tutaenda kuhoji badala ya nafsi na hiyo ndiyo sababu tunashindwa kupata Baraka
za ajabu kutoka kwa Mungu, sasa hiki sio kitu chakuwazia tu kitu fulani, siyo
kitu cha kichawi. Ni kweli neno la
Mungu. [14]
Sasa imani
inateka, imani ni ushindi (1Yohana 5:4). Sio tu mtengeneza imani, inashinda, Imani ni
ushindi ambao unaishinda Dunia, inafanya nini? Imani ni nini? Imani ni mtekaji?
Kuteka na kushinda ni jambo lilelile.
Kuteka inamaanisha kumpiga na kummaliza, kumzidi, kumzuia, kumtia jela,
kumtupa gerezani, inamaanisha hivi ile dhambi ambayo ilikutawala wewe sasa
unaitawala, (Warumi 5:17-21) ina maana kwamba wewe umeshinda hili,
umelichapa hilo, wewe ni mkuu kuliko hilo, Najisikia wa kidini, najisikia
wakidini sasa hivi. Nani alikuwa wa
kwanza?
8
Mwenye dhambi au mkombozi?
Mkombozi kwa sababu Mkombozi ana nguvu kuliko
dhambi. Ni kipi cha kwanza uponyaji au
magonjwa, haingekuwa mponyaji ila ingekuwa juu ya magonjwa. Ni mponyaji, kwa
sababu unaweza kushnda magonjwa. Na
imani ni ushindi unao shinda kila laana ya shetani. Imani ni ushindi. [15].
Imani ni nini?
Imani ni kweli, imani ni kitu fulani ambacho unakijua kwa uhakika, imani siyo
kitu ambacho una bahatisha. Imani ni
kitu ambacho unajua, kitu fulani ambacho kinakuja chini ndani ya nafsi
yako. [16].
Unaweza ukawa na vikwazo vingi. Pengine daktari wako anasema haiwezi kutokea
Lakini kama una imani haifanyi tofauti mtu mwingine anasema nini. Imani yako haizuiliki, Imani haina ya kunuia,
Imani inaliona Hilo
[17].
Sasa kuna vitu vitatu ambavyo watu wanaishi
kwa hivyo,moja kitu kile cha kibinadamu,pili ufunuo wa kiungu na tatu ni
maono,unapoomba na mtu yoyote kwa kwa namna ya kibinadamu tunasema “vema na
tumaini utapata nafuu.unaona,ninatumaini
pamoja na wewe, najalibu kutumia imani
yote niliyo nayo” Hicho ni cha kibinadamu, pili
ni ufunuo wa kiungu kitu fulani kinapo funuliwa kwako, unajua tu moyoni
mwako hicho kitaenda kutokea na bado hakuna kitu chochote ni ufunuo tu,na tatu
niono kwasababu hilo ni hii ASEMA BWANA,hiyo ni kamilifu na ya uhakika [18].
Imani yako ya
kiakili inaweza ikaamini vizuri, lakini ni mpaka imani ya Mungu iwe chini kule
moyoni mwako __ _ _ (Wagalatia
2:19-20)
9
Unaona,imani
yako ya kiakili inaweza ikalikubali,
kufanya hivyo. Nakuendelea kuamini hilo kwa moyo wako wote mpaka Mungu alifunue
hilo [7].
Sikiliza
ninaenda kusema kitu fulani, angalia, imani haitambui, Amen,unaamini hilo?
nimejifunza hilo katika miaka ya kutembea
sehemu mbalimbali Duniani,nikikutana
na watu wa aina mbalimbali, lakini imani haijitambui unayo imani lakini
wala hujui hilo hiyo ni kweli, YESU
KRISTO haijalishi kama alikuwa
kwenye Dhoruba na mawimbi yakipiga
kutoka upande mmoja wa mtumbwi hadi mwengine au akiwa amesimama katika uso wa
vurugu za mapepo, hata kama angekuwa amending’inia mahali fulani hiyo haikumsumbua Yeye,Yeye alitembea kwa
utulivu na kwa kimya kadri awezavyo Yeye kwa kirahisi alikuwa hatambui hofu au
chochote kumzunguka yeye, hiyo ni kweli kama litaenda kutokea au kama haliendi
kutokea alijua kwamba litaenda kutokea kwasababu Mungu alisema hivyo.Yeye
hakusema “ooh nashangaa kama niliomba kikamilifu nashangaaa kama nilifunga
muda mrefu wa kutosha, Nashangaa kama nilifanya kweli” Yeye alitembea akiwa
hana fahamu, Hiyo ni sawa, Aliamini alichofanya Mungu kilikuwa kweli maandiko
ilibidi yatimize na alijua maisha yake yatatimiza hayo hivyo ni sawa, Na wewe uko hapa kuyatimiza
pia tembea ukiwa huna fahamu za hofu, Tembea huna fahamu za kulaumiwa , Tembea
ukiwa huna fahamu za Dunia, Tembea kama unatembea ndani ya Kristo. (Wagalatia 5:16-25) Tembea pamoja naye,
usisikilize chochote cha mkono wa kuume wala wakushoto wewe endelea kusonga
mbele, Kama kitu fulani kikija kanisani Tembea na Mungu, Haleluya!! Kama
magonjwa yakikupiga wewe, Tembea Na Mungu, Kama majirani hawakupendi wewe
tembea na Mungu, Endelea tu kutembea na Mungu, Enock siku moja alitembea pamoja
na Mungu, unajua alichofanya?
10
Alitembea njia yote kwenda nyumbani pamoja na
Mungu. Alienda mbali sana na barabara hakutaka tena kurudi nyuma Amen!! (Mwanzo 5:22, Waebrania 11:5) [19].
NUKUU
ZA KINGEREZA
1.Wapakwa mafuta
wa siku za maisha (65-072M) aya53-55
2. Muungano wa
siri wa bibi harusi wa Kristo (65-1125) Aya 160-162
3.Nguvu ya Mungu
(55-1006) Aya E- 14-E16
4.Mlango
kuelekea kwenye Moyo (60-0605) Aya E-36
5. Mwanzo wa
umaarufu wa Yesu (53-0605) Aya E-29
6.Kufufuliwa kwa
binti yairo (54-0302) Aya E-13.
7. Imani ni
matendo yaliyodhihirisha (65-1126) Aya 105,117,327
8. Unyakuo
(65-1204) Aya 65-66
9. Maswali na
majibu (640830M) COD UK.189 Swali no333
10. Maswali na
majibu (64-0823M) COD UK 960,Aya 179
11. Maji yasiyo
kama kutoka katika kwamba Mwamba (61-0723M) Aya 151
12.Ufunguo wa
kwenye mlango (62-10007)
13.Kile
kitendawili (65-0117) Aya 16
14.Yesu Kristo
Yule jana na hata milele (55-0806) Aya E16_E18
15.Imani ni
ushindi wetu (58-1004) Aya E-23
16.Sura za
Kristo (59-0525) Aya E-23
17.Kun’ang’ania
(62-0719E) Aya E56
18 Ile satina
(55-0522) aya 6
19 Aliapa kwa
nafsi yake (54-1212) Aya 101-104